Project Hope     home >>vijana wa stonecroft>> yesu ni nani? >> somo 4 >> somo 5
Yesu ni nani? - Somo #5
Women's Empowerment  Program
Sports Bible Club
Living Water Bible Club

YESU YUKO WAPI KWA SASA

Download Swahili Lesson #5 Student Study Book

Download Swahili Lesson #5 Bible Verses Handbook

Maombi

Mwenyezi mungu, naomba unifungue macho na moyo wangu ninavyoendela kusoma. Naomba uninyooshe ee BWANA. Nisaidie kukua kiuelewa ili niweze kuelewa kuwa wewe ni nani hasa. Ninaomba katika jina la Yesu kristo, AMEN..

Kujisomea Biblia Kwa Juma

Soma vifungu vifuatavyo vya biblia vifuatavhyo na uandike maneno yanayotuambia kuwa leo hii Yesu yuko wapi.

Matendo 1:6-11
_____________________________________________________

Matendo 2:32-35
_____________________________________________________

Waebrania 4:14-16
_____________________________________________________

Wagalatia 2:15-20
_____________________________________________________

Waefeso 3:14-21
_____________________________________________________

Wakolosai 1:27-29
_____________________________________________________

1 Petro 3:22
_____________________________________________________

1. Luka aliandika kile kilichotokea baada ya ufufuo. Soma Matendo 1:1-11, na ujaze nafasi zilizo achwa wazi kwa kutumia maneno yafuatayo:

Hai/ anaishi
tena
40
Yesu
mitume
wingu
mbinguni
aliwaambia
mbinguni
nyeupe/ meupe

Hata …………………siku alicukuliwa, Yesu aliwatokea…………………….mara nyingi na katika nyakati tofauti tofauti ili kuhakikisha kuondoa mashaka kuwa yeye alikua……………………………. Walimuon ana wakaongea naye. Yeye ………………….. wao kuhusu mabo yatakayo kuja kutokea.
Siku moja, wakati Yesu alikua akiongea pamoja nao, alichukuliwa kwenda……………. Wakatiti wakiwa wanamwangalia. …………………….. yalimficha yeye kutoka machoni pao. Watu wawili walijitokeza wakiwa wamevalia mavazi……………………………….. wakawaaambia……………………….., ambaye amechukuliwa kwenda………………………….atakuja……………………………….. mlivyomwona akienda zake.

2. Biblia ina rekodi nyingi kuhusu Yesu alivyokuwa akiwatokea watu baada ya kufufuka kwake/ au baada ya ufufuo wake. Soma vifungu vifuatavyo katika biblia na uandike ni nani au kwa akina nani ambao Yesu aliwatokea.

a. Yohana 20:14-18
_____________________________________________________

b. Luka 24:13-15
_____________________________________________________

c. Yohana 20:26-29
_____________________________________________________

d. 1 WaKorintho 15:5
_____________________________________________________

e. Yohana 21:1
_____________________________________________________

f. 1 WaKorintho 15:6
_____________________________________________________

g. 1 WaKorintho 15:7
_____________________________________________________

3. Yesu yuko wapi leo? Waebrania 12:2
_____________________________________________________

4. Yesu anatufanyia nini sisi? Waebrania 7:24-25.
_____________________________________________________

5. Kifo cha Yesu kilitukamilishia nini sisi? Warumi 5:8-9.
_____________________________________________________

6. Yesu alikufa msalabani na akafufuka tena ili sisi tusamehemu na tuwe na uhusiano nay eye kwa kuwa alijitoa kwa ajili yetu. Tunatakiwa tumwambie Yesu atusamehe na tumwalike yeye katika maisha yetu. Hiki ndio kitu amacho tunatakiwa tukifanye sisi. Hauna mtu mwingi ambaye anaweza kufaya tena kwa ajili yetu.kama hukumbuki ni kipindi gani ambacho ulimwalika Yesu kuingia ndani ya maisha yako, unaweza ukafanya hivyo sasa.

Weka imani yako kwa Yesu na upokee msamaha kutoka kwake, na utapata thawabu ya milele.

a. Tambua ya kwamba Yesu alikuumba ili uwe na ushirika nay eye. Anakuoenda sana na anataka wewe pia umpende yeye kama yeye alivyokupenda.
b. Tambua ya kwamba wewe ni mwenye dhambi kwa hiyo huwezi hata siku moja kujiokoa mwenyewe.
c. Amini ya kwamba Yesu alikufa msalabani ili kulipa adhabu ya dhambi juu ya yako, na akafufuka kutoka kwa wafu, na hivyo leo hii yu hai, leo hii amini ndani ya moyo wako, sio tu kwenye kichwa chako au akilini mwako tu.
d. Sema na mungu ndani ya maombi.
1. Mwambie mungu aje ndani ya maisha yako.
2. Tubu dhambi zako zote, ambapo hii inamaanisha kwamba uache zile njia mbaya na kuja katika njia nzuri ya mungu.
3. Mwambie akusamehe dhambi zako zote.
4. Yaachilie maisha yako yadhibitiwe na Yesu kristo. Mfanye huyu Yesu awe Bwana wako.
e. Mwambie mtu ulichoamua kukifanya.
f. Shirikisha maamuzi yako kwa wanakikundi chako, na katika mwongozo wa masomo ya stonecroft.
g. Kama kumempokea Yesu kristo kama bwana na mwwokozi katika maisha yako andika mwaka. Hiyo ni siku ya kuweza kukumbuka sana maana ina maana sana katika maisha yako. Kama wewe ulimpoikea Yesu zamani andika tarehe ambayo ulimokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wako ( unaweza ukakadiria tarehe, au miaka yako ya kuwa ndan ya wokovu kama huna uhakika).

_____________________________________________

7. Mishtari ifuatayo ya biblia inafunua nini kuhusiana na wale wote ambao wamemwomba Yesu kristo kuingia ndani ya maisha yao?

a. Wagalatia2:20
_____________________________________________________

b. 1 Korintho 3:16-17; 1 Korintho 6:19
_____________________________________________________

c. Warumi 8:9-11
_____________________________________________________

8. Pitia mistari na uielewe vizuri kisha, andika neno linalokosekana katika nafasi zilizoachwa wazi.

Matendo 4:……………….

………………………….inatakiwa atafutwe kwa kupitia………………………..pekee; katika yote……………… hakuna…………………..nyingine ambaye…………………. Ametupa ambao…………….sisi.

9. Asante Bwana kwa kutuonesha wewe jinsi ulivhyo na uhusiano mzuri na sisi. Mwambie mungu aweze kujidhihirisha ndani ya maisha yako. Ongeza mawazo yako hapa na andika maombia yako hapa.
_____________________________________________________

Maombi
Dear Lord Jesus, we have learned so much about You. Thank You for Your Holy Spirit, whom You sent to guide and teach us. Show us ways we can help other people learn what we have leanred. Teach us as we study the last lesson. We ay in Your name, AMEN.
_____________________________________________________

 
 

This is a translation of Who is Jesus? Stonecroft's Students Study Book Lesson #5 the English version of Who is Jesus? is available online from their website.

Download Swahili Lesson #5 Student Study Book

Download Swahili Lesson #5 Bible Verses Handbook

The Guide has her own Guidebook to help her lead and guide the lesson.

Lesson #5 Swahili Guidebook (To be translated)

Download Swahili Guidebook Bible Verses Lesson #5

YESY NI NANI?

 
 
Copyright ©  2023 www.UnitedCaribbean.com. All rights reserved. Disclaimer Click to Contact us